Breaking News
recent

Baraza la Maaskofu KKKT lamtenga Askofu Malasusa

IMG_20180428_081525.jpg 
IMG_20180428_083037.jpg
IMG_20180428_082837.jpg



Kikao cha maaskofu 25 chamtuhumu kusaliti waraka.

Hatoruhusiwa kuwakilisha kanisa popote, uamuzi wa mwisho mikononi mwa dayosisi yake.

"Kiini cha tuhuma hizo za Usaliti dhidi Askofu Malasusa, kinaelezwa kuwa ni uamuzi wake wa kuzuia waraka wa Pasaka ulioandaliwa na Maaskofu 27 wa wa Kanisa hilo, usisomwe katika Dayosisi ya Mashariki na Pwani anayoiongoza".

Chanzo: MTANZANIA

No comments:

Featured post

ADVANCED ENGENEERING MATHEMATICS

Powered by Blogger.